Huu ndio wimbo wa kwanza utakao toka katika studio ya Rayvan

Je unaufahamu wimbo wa kwanza ambao utaanza kutoka chini ya studio mpya ya Rayvanny, Surprise Music?

Basi fahamu kuwa ngoma iitwayo ‘Ngarenaro’ ya Dogo Janja unaotarajiwa kutoka rasmi Jumatano hii ndio utakuwa wa kwanza kutoka chini ya studio hiyo ambapo Rash Don ndio mtayarishaji wake.
Hata hivyo tayari kuna wasanii wengine wakubwa wanadaiwa tayari wameshafanya ngoma katika studio hiyo akiwemo Madee, Maromboso na wengine.

Comments

Popular posts from this blog

Zitto Kabwe amjia juu Spika Job Ndugai

Diamondi Azidi Kuwateka Mastaa Wakubwa Kutoka Marekani

Sugu awashangaa wanachama wa CCM