Huu ndio wimbo wa kwanza utakao toka katika studio ya Rayvan
Je unaufahamu wimbo wa kwanza ambao utaanza kutoka chini ya studio mpya ya Rayvanny, Surprise Music?

Basi fahamu kuwa ngoma iitwayo ‘Ngarenaro’ ya Dogo Janja unaotarajiwa kutoka rasmi Jumatano hii ndio utakuwa wa kwanza kutoka chini ya studio hiyo ambapo Rash Don ndio mtayarishaji wake.
Hata hivyo tayari kuna wasanii wengine wakubwa wanadaiwa tayari
wameshafanya ngoma katika studio hiyo akiwemo Madee, Maromboso na
wengine.
Basi fahamu kuwa ngoma iitwayo ‘Ngarenaro’ ya Dogo Janja unaotarajiwa kutoka rasmi Jumatano hii ndio utakuwa wa kwanza kutoka chini ya studio hiyo ambapo Rash Don ndio mtayarishaji wake.
Comments
Post a Comment