Simba sasa kumburuza Buswita mahakamani Thursday, August 31, 2017


MKUU WA IDARA YA HABARI NA MAWASILIANO WA SIMBA, HAJI MANARA.

LICHA ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kumfungia kiungo wa Mbao FC, Pius Buswita, kutocheza soka kwa kipindi cha mwaka mmoja kutokana na kusaini kuzichezea klabu mbili tofauti, Simba na Yanga, sasa ataburuzwa mahakamani, imeelezwa.

Klabu ya soka ya Simba, imesema inatarajia kumfikisha mahakamani Buswita, kwa madai kuwa amewatapeli fedha zao wakati akijua alishasajiliwa na Yanga.

Comments

Popular posts from this blog

Tembo wapiga kambi kata ya Mkoka, wamjeruhi mtu na kula mzao mashambani

Sugu awashangaa wanachama wa CCM

Shamsa Ford ampa somo Shilole kuhusu ndoa