China imefungia mtandao wa WhatsApp, imezitaja na sababu
Imeelezwa kuwa wakati mwingine,
mawasiliano hayo ya WhatsApp yamekuwa yanapatikana kupitia mtandao
binafsi wa VPN ambao unasimamia mitandao ya China pekee.
Pia imeelezwa kuwa mwezi Julai viliwekwa vikwazo vya watumiaji wa
mtandao huo kutuma picha hata video kwa watu wengine wa China. WhatsApp
inaripotiwa kuwa huduma pekee ya mtandao iliyokubalika na serikali hiyo
kuwa nchini humo.
Comments
Post a Comment