Mbunge Peter Msigwa anashikiliwa na Polisi

Kupitia ukurasa wa Twitter wa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema, ameandika hivi;-

 "Msigwa amekamatwa na Polisi huko Iringa na kushushwa kwa nguvu jukwani  ktk Mkutano halali. Msiogope baada ya giza nene asubuhi hutokea!"
 

Comments

Popular posts from this blog

Tembo wapiga kambi kata ya Mkoka, wamjeruhi mtu na kula mzao mashambani

Sugu awashangaa wanachama wa CCM

Shamsa Ford ampa somo Shilole kuhusu ndoa