TEKNOLOJIA: Picha 5 za teksi ya kwanza duniani kuruka angani

    September 26, 2017 Dubai imefanya jaribio la teksi ya kwanza duniani ya ndege isio na rubani ambayo wanaamini itatumika katika shughuli mbalimbali za usafiri.
Ndege hiyo ina uwezo wa kubeba watu watatu kwa wakati mmoja na kuruka kwa dakika 30 kwa spidi ya kilomita 50 kwa saa na kasi yake kubwa kabisa angani ikiwa ni kilomita 100 kwa saa na hii ikiwa ni malengo ya mji huo wa Dubai kuwa wa kiteknolojia zaidi.
 Image result for new taxi launched in Dubai
 Image result for new taxi launched in Dubai

Comments

Popular posts from this blog

Tembo wapiga kambi kata ya Mkoka, wamjeruhi mtu na kula mzao mashambani

Sugu awashangaa wanachama wa CCM

Shamsa Ford ampa somo Shilole kuhusu ndoa