IEBC: Matokeo ya urais yatatangazwa saa tisa unusu

Naibu mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Kenya Consolata Nkatha Maina amesema matokeo ya urais kutoka maeneo ambayo uchaguzi wa marudio ulifanyika yatatangzwa saa tisa unusu alasiri.
Amesema wagombea wote wa urais wamealikwa kwa shughuli hiyo.
Bi Maina amesema maeneo ambayo uchaguzi haukufanyika hayawezi kuathiri matokeo ya jumla ya uchaguzi huo.

Comments

Popular posts from this blog

Tembo wapiga kambi kata ya Mkoka, wamjeruhi mtu na kula mzao mashambani

Sugu awashangaa wanachama wa CCM

Shamsa Ford ampa somo Shilole kuhusu ndoa