IEBC: Matokeo ya urais yatatangazwa saa tisa unusu

Naibu mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi Kenya Consolata Nkatha Maina amesema matokeo ya urais kutoka maeneo ambayo uchaguzi wa marudio ulifanyika yatatangzwa saa tisa unusu alasiri.
Amesema wagombea wote wa urais wamealikwa kwa shughuli hiyo.
Bi Maina amesema maeneo ambayo uchaguzi haukufanyika hayawezi kuathiri matokeo ya jumla ya uchaguzi huo.

Comments

Popular posts from this blog

Zitto Kabwe amjia juu Spika Job Ndugai

Diamondi Azidi Kuwateka Mastaa Wakubwa Kutoka Marekani

Sugu awashangaa wanachama wa CCM