Pata habari za uhakika na zilizo fanyiwa uchunguzi wa hali ya juu.
Profesa Kitila Mkumbo ajiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM)
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
Profesa Kitila Mkumbo amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM), taarifa ya
Prof. Mkumbo kujiunga CCM imetolewa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa
Singida, Martha Mlata.
WANANCHI wanaoishi kwenye vijiji vilivyopo katika kata ya Mkoka wilaya ya Nachingwea mkoa wa Lindi, wapo kwenye taharuki kutokana na ujio wa tembo kwenye kata hiyo. Taarifa toka idara ya maliasili ya halmashauri ya wilaya ya Nachingwea, imeeleza kuwa tembo hao wanaoendelea kuvinjari kwenye baadhi ya vijiji vilivyopo kwenye kata hiyo, licha ya kuharibu mazao kwenye baadhi ya mashamba,lakini pia wamejeruhi mtu mmoja katika kijiji cha Narungombe. Akieleza matukio hayo, ofisa wanyama pori wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kwaniaba ya ofisa maliasili na mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri, Benjamin John, alisema tembo hao wanaokadiriwa kuwa kumi walikwenda katika kijiji cha Narungombe tarehe 21 mwezi huu, ambapo walimjeruhi mtu mmoja anaetambulika kwa jina la Said Mbujeje aliyekuwa shambani mwake akiwa anavuna mbaazi. "Nikweli tukio hilo limetokea nasisi tulikwenda huko lakini hatukuwakuta, hata hivyo tumeambiwa jana (juzi)usiku wameonekana katika kijiji cha Rweje. ...
Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amewashangaa wananchama wa CCM waliolipigia hesabu jimbo hilo, akidai kuwa wanajisumbua kwa sababu walishapoteana tangu mwaka 2010. Akizungumza leo Desemba 20 katika mahojiano maalum na MCL Digital, Sugu amesema viongozi wa CCM wanaojipambanua kutaka chama hicho kishinde majimbo ya upinzani, ikiwa ni pamoja na kuongoza halmashauri wanapoteza muda. “Wanataka kurudisha jiji la Mbeya mikononi mwao sambamba na kata zote ambazo tulishinda katika uchaguzi uliopita. Wanajisumbua,” amesema. Sugu alikuwa akimjibu Mwenyekiti mpya wa CCM mkoani Mbeya, Jacob Mwakasole ambaye mara baada ya ushindi huo ameshangazwa na upinzani mkali uliopo katika jiji hilo. Mwakasole amesema mkoa huo unazo changamoto nyingi za kisiasa na makundi ndani ya CCM, kuwataka wanachama kushikamana kuzishughulikia ili kurudisha nguvu ya chama hicho ili kulirejesha jimbo hilo mikononi mwa CCM. “Ni wazi CCM wamepaniki na k...
STAA wa Filamu nchini, Shamsa Ford amefungukia uamuzi wa msanii mwenzake wa Muziki, Zuwena Mohammed maarufu kama Shilole kwa kuamua kufunga ndoa tena ya Kidini na mpenzi wake, Uchebe ndoa iliyoshuhudiwa hivi karibuni na kutikisa kwenye mitandao na vyombo vya habari huku ikiwaacha midomo wazi kwa wale walidhani kuwa angerudiana na mpenzi wake wa zamani, Nuh Mziwanda. Shamsa ambaye pia alifunga ndoa mwaka huu na mpenzi wake, Chidi Mapenzi ametumia ukurasa wake wa Instagram kumsihi Shilole atulie, aweke umaarufu pembeni, aitunze ndoa yake na hatimaye atafaidi matunda ya ndoa iliyo bora. Shamsa ameandika; “Hongera sana mamy. Umefanya maamuzi sahihi ya kumpendeza Mwenyezi Mungu.Cha muhimu uwe mke bora wa Kitanzania kwa mumeo na ustar uweke pembeni. “Mumuweke Mungu mbele, uvumilivu na kuheshimiana inshaallah mtazikana.Karibu kwenye Chama mama….Sasa nyie mnao subili matajiri wawaoe wakati hao matajiri wana wake zao wameanza nao moja mtasubili sana mpaka uso uote sugu.Uzur...
Comments
Post a Comment