Handeni: Wauzaji wa nyama wagoma kufungua maduka ya kuuzia bidhaa hiyo.

Kamera ya ITV imefika machinjio ya wilaya na kukuta yakiwa meupe bila kuwepo dalili ya kupatikana huduma hiyo na ilifanikiwa kuongea na mwenyekiti wao na hapa anaelezea sababu.
Hata hivyo mkurugenzi wa halmashauri ya mji alifika machinjioni hapo na kukiri kuwa kweli ushirikishwaji haukufanyika huku wafanya biashara hao wakimkataa daktari wa machinchio hayo mbele ya mkurugenzi.
Comments
Post a Comment