DCP Mkondya aanika kilichomtesa Dsm, akiwa kaimu kamanda


Aliyekuwa Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu Dar es Salaam, Lucas Mkondya, amesema anaondoka katika mkoa huo huku akisema moja ya changamoto zake ni kuwapo wanasiasa.
Hata hivyo, hakufafanua alichomaanisha anaposema wanasiasa, lakini hivi karibuni kumekuwapo maneno yanayosemwa na wananasiasa.
Mkondya aliyasema hayo leo alipokuwa akiwaaga waandishi wa habari jijini Dar es salaam na kwamba wana siasa ndiyo changamoto kubwa huku akisema wanaoongoza kwa kuvunja sheria.
Changamoto nyingine alizoziacha Dar es salaam ni pamoja na makosa ya barabara na makosa mengine, pamoja na kufanikiwa kupunguza kwa kiasi kikubwa uhalifu jijini Dar es Salaam.
Mkondya ameteuliwa kuwa Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Mtwara na leo amegana na waandishi wa habari.

Comments

Popular posts from this blog

Zitto Kabwe amjia juu Spika Job Ndugai

Diamondi Azidi Kuwateka Mastaa Wakubwa Kutoka Marekani

MATOKEO YA PSG DHIDI YA MARSEILLE YAMELETA TOFAUTI YA MESSI NA NEYMAR