Hakuna Wahudumu Petrol Station, mafuta unajiwekea mwenyewe


Kwa mtu anaeishi Marekani au kwenye nchi za Ulaya hili ni jambo la kawaida kabisa lakini kwa tulio Afrika hiki ni kitu kigeni kwetu maana kwenye vituo vyote vya mafuta huwa tunakuta Muhudumu ndio anatuwekea mafuta kwenye magari. imaniabel blog iinakukutanisha na hii kutokea Marekani ambapo 10mpa anatuonyesha jinsi  ambavyo wananunua mafuta yao kwa kulipia kwa kadi lakini pia kuna aina 3 za mafuta kulingana na uborahttp://s3-us-west-2.amazonaws.com/millard-ayo-bucket/wp-content/uploads/2017/08/25180630/Screen-Shot-2017-08-25-at-11.04.29-AM-660x400.png

Comments

Popular posts from this blog

Zitto Kabwe amjia juu Spika Job Ndugai

Diamondi Azidi Kuwateka Mastaa Wakubwa Kutoka Marekani

MATOKEO YA PSG DHIDI YA MARSEILLE YAMELETA TOFAUTI YA MESSI NA NEYMAR