Hii video mpya ya Aslay ‘Pusha’ Itazame hapa

Msanii wa bongo fleva Aslay Isihaka ametuletea ngoma yake mpya inayoitwa "Pusha.Msanii huyo ambayo awali alikua katika kundi la yamoto band ambayo wametengana kwa sasa ameonekana kua moto baada ya kuachia ngoma kali kila kukicha.

Comments

Popular posts from this blog

Zitto Kabwe amjia juu Spika Job Ndugai

Diamondi Azidi Kuwateka Mastaa Wakubwa Kutoka Marekani

MATOKEO YA PSG DHIDI YA MARSEILLE YAMELETA TOFAUTI YA MESSI NA NEYMAR