matonya awaomba basata wamsaidie kupata haki zake

Mwanamziki nguli wa bongo fleva maaarufu kama Matonya ametumia ukurasa wake wa instagram kuwaomba basata kuchukua hatua za kisheria kwa kundi la Wcb baada ya kukopi nyimbo yake.
Hatua hiyo imekuja baada ya kundi linalo ongozwa na msanii maarufu nchini Diamond kuachia ngoma yao jana inayo itwa "Zilipendwa.Tazama chini post yake.......


Comments

Popular posts from this blog

Zitto Kabwe amjia juu Spika Job Ndugai

Diamondi Azidi Kuwateka Mastaa Wakubwa Kutoka Marekani

MATOKEO YA PSG DHIDI YA MARSEILLE YAMELETA TOFAUTI YA MESSI NA NEYMAR