TANZIA: Golikipa Aliyedaka Katika Mechi ya Simba Day Afariki Dunia Leo

TANZIA: Golikipa Aliyedaka Katika Mechi ya Simba Day  Afariki Dunia Leo
Golikipa wa Rayon Sports, Evariste Mutuyimana aliyedaka kwenye mechi dhidi ya Simba siku ya Simba Day jijini Dar es Salaam katika uwanja wa Taifa , amefariki dunia leo Jumanne kwenye Hospitali ya Kigali nchini Rwanda.

 Shirikisho la Soka Rwanda (FERWAFA) limethibitisha kutokea kwa kifo cha mchezaji huyo, huku likitoa salamu za pole kwa klabu ya Rayon Sports.
Mchezaji huyo alijiunga na klabu hiyo msimu wa mwaka 2016/17 akitokea Sofapaka FC ya Kenya.

Comments

Popular posts from this blog

Zitto Kabwe amjia juu Spika Job Ndugai

Diamondi Azidi Kuwateka Mastaa Wakubwa Kutoka Marekani

MATOKEO YA PSG DHIDI YA MARSEILLE YAMELETA TOFAUTI YA MESSI NA NEYMAR