Diamond afunguka kuhusu pochi ya Zari


Baada ya Zari kuonekana kwenye uzinduzi wa duka la vifaa vya nyumbani na Ofisini Danube Mlimani City baadhi ya mitandao na watu walianza kusema kwamba amebeba pochi ya bei rahisi, hilo limemfikia mpaka Diamond na akaamua kusema yafuatayo.

Diamond amezima taarifa hizo kwa kusema pochi hiyo alimnunulia Zari shilingi milioni 5 za Kitanzania hivyo haitakiwi kushushwa thamani.

Comments

Popular posts from this blog

Zitto Kabwe amjia juu Spika Job Ndugai

Diamondi Azidi Kuwateka Mastaa Wakubwa Kutoka Marekani

MATOKEO YA PSG DHIDI YA MARSEILLE YAMELETA TOFAUTI YA MESSI NA NEYMAR